Sunday, 06 September 2026
USD/KES 129.4EUR/KES 150.3
Kenya News from Kenya · WORLD EUROS
Nº 57 Sunday, 06 September 2026
Top stories

Wanasiasa wanaocheza kamari hatari kuelekea 2027

Wanasiasa wanaocheza kamari hatari kuelekea 2027
Sources: taifaleo.nation.co.ke

UCHAGUZI mkuu wa mwaka wa 2027 unavyokaribia, siasa za Kenya zinashuhudia mwelekeo mpya ambapo baadhi ya viongozi waliochaguliwa wanaonekana kuwa tayari kuacha nyadhifa walizo nazo kwa sasa ili kutafuta kubwa na zenye mamlaka zaidi, ushawishi na umaarufu kitaifa. Kuanzia kwa maseneta wanaolenga ugavana, wabunge wanaotaka kuwa magavana, hadi magavana na wabunge wanaomezea mate urais, hali hii imege

See all — taifaleo.nation.co.ke →

Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.