Wageni waingiwa na taharuki tele kutokana na agizo la Rais Ruto
MAMIA ya raia wa kigeni wanaofanya biashara nchini jana waligubikwa na taharuki na wasiwasi baada ya Rais William Ruto kuamuru msako dhidi yao hasa wale wanaofanya biashara ndogondogo. Amri hiyo iliyotolewa wiki jana Septemba 2 wakati wa mkutano na wafanyabiashara wadogo (MSME) ilisababisha pilkapilka za kukimbilia stakabadhi za kusafiri, baadhi ya biashara kufungwa na ripoti za vitisho na kuhanga
See all — taifaleo.nation.co.ke →Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.







