Sifuna awatikisa Mudavadi, Atwoli; waanza ziara Magharibi kumtetea Ruto kwa wananchi
WIMBI la kisiasa la Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kupitia vuguvugu la Linda Mwananchi limewafanya baadhi ya viongozi wakuu wa serikali kutoka eneo la Magharibi kuanza kampeni kali kwa Rais William Ruto katika uchaguzi wa 2027. Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi, ambaye amekuwa akijiepusha na shughuli za kisiasa, ameanza ziara za mashinani kuimarisha uungwaji mkono wa chama tawala cha UDA. Mwisho
See all — taifaleo.nation.co.ke →Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.







