‘Picha ya Bikira Maria’ kwenye ukuta jikoni yaibua gumzo Kisii
KATIKA vilima vya eneobunge la Bobasi, Kaunti ya Kisii, nyumba ndogo ya udongo ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikitumika kama jikoni sasa imegeuka kuwa kivutio cha mamia ya waumini na wadadisi. Ni katika kijiji cha Getare, Emenwa, ambako mkulima Mary Onsombi, ambaye ni Mkatoliki mcha Mungu, anasema aligundua picha inayofanana na Bikira Maria kwenye ukuta wa jikoni lake uliojaa weusi kutokana na mos
See all — taifaleo.nation.co.ke →Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.







