Matumizi ya tiba asili na nafasi yake katika afya ya jamii
UNAPOAMKA asubuhi ukiwa na mafua na kukohoa, kuna uwezekano mkubwa kuwa ushauri wa kwanza utapata kutoka kwa mwanafamilia hautakuwa wa kwenda hospitalini. Utaambiwa, “Chemsha tangawizi, limau kisha ongeza asali.” Kwa upande mwingine, ukiwa mashambani na unaumwa na tumbo, huenda ukasikia ukiambiwa uchemshe majani au mzizi fulani ambayo wazee wamekuwa wakitumia kwa miaka mingi. Kwa vizazi vingi, Wak
See all — taifaleo.nation.co.ke →Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.







