Liverpool yashuka dimbani kusaka ushindi wa kwanza EPL
LIVERPOOL watashuka dimbani kutafuta ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu wakiwa ugenini dhidi ya Ipswich Town hii leo katika uwanja wa Portman Road. The Reds walianza msimu kwa sare ya 2-2 dhidi ya Newcastle United kabla ya kurudia matokeo hayo hayo katika mechi yao iliyofuata dhidi ya Nottingham Forest. Hata hivyo, kikosi hicho sasa kinatumai kuondoka na alama zote tatu
See all — taifaleo.nation.co.ke →Aggregated from the leading newsrooms of the country. Every story links to its original source.







